Maisha ya Wema Isaac Sepetu yamebadilika, sasa anaitwa pedeshee Sepetu kufuatia matukio yake ya hivi karibuni yanayohusisha matumizi makubwa ya fedha ambapo gumzo ni lile alilofanya kufuru katika Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE), mjini Dubai.
Kwa habari zaidi bofya hapa
Tidak ada komentar:
Posting Komentar